WritAfrica

POVERTY GENEROSITY

BY MAINA MERYER

Poverty inazidi kwa generous

Mr president, gharama ya maisha imekuwa pain in the ass

48% ni wa kenya wanaokumbwa na msongo wa mawazo

21% ni wa kenya waliopata matatizo ya kiafya

18% ni wa kenya wako katika Hali mbaya kuiuchumi

Tumelack vitamin you, juu bei ilipanda wakaweka ×2 kwa menu

Na ukifika bei ya mafuta ni ka kuhire venue

Situation imetuturn bitter ni ka tukona hasira za mumeru

Sad news kila dhakika adi unawish kuhama ulimwengu

Tags:

No tags assigned to this post.

Related Posts

Top Categories

Trending News

THE PAIN BEHIND THE LUXURY
Algorithmic_Management
Contractions and clients, no break between
DRAGGING THE WEIGHT OF UNCERTAINTY
Working for the Ghost
The Price of Flexibility: A Woman's Experience in Kenya's Gig Economy

Subscribe to Our Newsletter

Join our vibrant community of young poets, writers, and illustrators.