WritAfrica

Being Kenyan

BEING KENYAN

By Shesia the poet

 

I’ve been thinking about hii yetu Kenya All I see ni mashida Tu zinapenya
Toka doo zichorwe animal wa mwituni Ni msoto Tu zishaenda misituni

Msee wa boda anadai bei ya mafuta
Bei ya unga chini lini mtaivuta? Ma-youths wako idle tuko jobless
No money Kwa pockets tuko cashless Eti hustler itabidi aongeze bidii zaidi But hizo earnings ni kama jooh hazifaidi Riziki ni hard Kwa mvuvi kuivua Farmers wanadai maji ju hakuna mvua Alafu after degree hakuna job nanii Imekua hard kuishi hii maisha

Kujiuliza lini mashida zitaisha
Hii inashinda misri na story za Musa Hope Tu God atupe njema fursa Tumechoka kulilia serikali Wanachotupa Tu ni adhabu Kali

Tags:

No tags assigned to this post.

Related Posts

Top Categories

Trending News

THE PAIN BEHIND THE LUXURY
Algorithmic_Management
Contractions and clients, no break between
DRAGGING THE WEIGHT OF UNCERTAINTY
Working for the Ghost
The Price of Flexibility: A Woman's Experience in Kenya's Gig Economy

Subscribe to Our Newsletter

Join our vibrant community of young poets, writers, and illustrators.