WritAfrica

THE DEAD STREETLIGHT 

BY LOUREEN ALMA

Barabara zetu ni kivuli cha giza

Tunatembea kwa darkness

Feet zikitremble on potholes

Juu next step is a total blur

I speak for every bulb that died in silence 

For every girl rushing home in fear

For every youth covered by shadows

Juu hata shadow yako haina guaranteed safety

Njaa imekuwa mob

Youths wakageuka wakaingia uhalifu

Wakapata the best opportunity ya kuraid watu kwa shadows imecretiwa kwa barabara zetu za giza 

Wameweka floodlights

Lakini hazingai kama tu nyota zetu za ndoa!

Streetlights zikasimama 

Zikafa kimya kama polls za stima

Nikiask for my security as a citizen

Just as stated in the constitution of having equal rights like the barbies of milimani wenye nyota zao zinangaa kwa barabara zao

Naambiwa climate imechange

Yet I was once someone’s sunshine akitafuta kura

Dead bulbs kama macho yaliyofumba

Floodlights zimesahau kazi yao

Zinangoja tu ma-officials wakumbuke days za campaigns na ahadi za uongo

“Nimetenga…”

Wakati sisi tunatembea kwa hofu

“Jamii yote sasa iko salama”

Hizi ndio zinaskika kwa speaker wakionekana

Lakini sasa ni sisi na giza

Ni sisi na viboko vya uhalifu

Ni sisi na hofu ya usiku

Lakini baada ya elections 

” Budget bado, vumilieni kidogo”

Ndio quote inakumbia kila base kutuliza wasee

Hii siyo stima tu imeenda ikadie

Ni matumaini yetu yamezimika

Our taxes glowing only in empty speeches

With our streets glowing with darkness daily

Tukipoteza our next generation kwa uhalifu

Juu ya provided opportunity under these darkness 

Za kupiga watu ngeta wkitoka job mausiku

Giza linacheka

Viboko zinatuzingira

Kwa watoto wamezaliwa jana

Wakitaka kuomoka na sweats zetu

Juu wamenyanganywa riziki yao

Wakati tunalipa kodi

Tunalipa mwangaza pia

Lakini tunapokea kivuli ambayo ni endless pit

We demand lights 

Si floodlight za events na publicity za influencers 

Si streetlights za selfie za TIKTOK na kupewa tenders

Tunaomba mwangaza wa kweli

Respected, Repaired and Maintained 

Maana giza ni rafiki ya hofu 

Ambayo inameza Youths wa leo

Na mwanga ni ahadi ya usalama

A guaranteed security for safety

Promise is not a bulb until it shines

Na maendeleo siyo picha kwa TV 

Development si headlines

Mwanga kwa roads zetu ndio inatupeleka nyumbani salama

Changing the mindset

Tags:

No tags assigned to this post.

Related Posts

Top Categories

Trending News

You Know We are Kin, I and You
The People’s Peace
Siasa Ya ID
UFISADI TIA  ZII
HEALTH SERVICE CHRONICLES
Protest is Not A Crime - Article 37

Subscribe to Our Newsletter

Join our vibrant community of young poets, writers, and illustrators.